Machapisho

TARATIBU ZA UCHUMBA KABLA YA NDOA.

Picha
UCHUMBA Unaanzaa siku Mungu amekuthibitishia kuwa huyo ndiye na huyo mtu akakubari uwe mchumba wake. au uchumba unaanza siku ambapo hao wawili wanakubaliana wawe wachumba. Basi Hapo mnakuwa wachumba lakini mbele za Mungu tu na sio kwa wanadamu Mungu anaheshimu maagano ya wanadamu. Hivyo kama umeingia kwenye mahusiano na mtu ambaye sio sahihi, Mungu hataingilia hayo maagano yenu. Au kama wewe sio mkaidi basi kwa rehema zake atayavunja hayo mahusiano. Asema “Aondoa [agano] la kwanza, ili kusudi alisimamishe la pili.”(Ebr 10:9) Lakini Mungu ametaka uchumba utambulike na mbele za wanadamu pia. Hivyo kinachofuatwa ni kuuweka huo uchumba unaotambulika na Mungu waziwazi mbele za wanadamu kwa njia sahihi. Kanisani, kwa wazazi, n.k.. Kwa wazazi kuna njia nyingi za kuwa wachumba Ambayo kwa familia nyingi kwanza ni kutoa Posa(au kujitambulisha kwa wazazi rasmi), kisha kutoa mahali(kwa ambao ipo). Lakini kwa wale wenye mambo ya Kutoa Posa; mbele za Mungu uchumba unaishi

TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) SEHEMU YA 2-5

Picha
TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) MWANDISHI: FRANK TITUS -MANSHYNE Episode 02. MARIA: hospitali wanasema ni maumivu ya kichwa yalimzidi. Na inasemekana chanzo ni wewe? FRANK: kwahyo hata wewe maria unaamini mimi ni chanzo? MARIA: sasa chanzo ni nani? lakini ni Kutokana na yale uliyoongea class. FRANK: kwan niliongea vibaya? MARIA: hapana ulikua sawa lakini ndo hivo mtu yupo hospitali…. FRANK: ok fresh, wacha mimi nikale alafu nishachoka nataka nikapumzike hostel. Aliongea frank huku akisimama na kuondoka. MARIA: wewe ina maana huend hospital kumuona? Wewe frank? Mmh makubwa! ************************************************************* Loveness akiwa hospital alitembelewa na marafiki zake pamoja na wanachuo wengine. Baadhi walimletea zawadi kama juice, biscuit na matunda. Aliwashuukuru sana. “Lakin vipi saiz unaendeleaje?” aliuliza issa LOVENESS: kwa sasa naendelea vzr, docta kasema leo naweza kuruhusiwa ISSA: kwan tatizo lilikua nini? LOVENESS: ni kichwa

RIWAYA: KAMA MAMA KAMA MTOTO

Picha
RIWAYA: KAMA MAMA KAMA MTOTO MWANDISHI: FRANK TITUS SEHEMU YA KWANZA: Mama kalolina ni mkazi wa wilaya ya songea, kijiji cha maposeni –peramiho,  yeye ni mjane mwenye mtoto mmoja ambaye ni kalolina, mume wake alifariki miaka mingi iliyopita akimuacha mke na mtoto. Wakati akiishi na mumewe waliishi maisha mazuri mno, kila alichohitaji alikipata kutoka kwa mume wake aliyekuwa mwalimu wa sekondari. Mara baada ya mume wake kufariki hapo ndipo tabu zilipoanza, walifukuzwa nyumba ya shule waliyokuwa wakiishi, ilibidi yeye na mwanae wapange chumba kimoja. Mbaya zaidi hata mirathi aliyotegemea kuipata kwenye kifo cha mumewe aliambulia fedha kiduchu kutokana na dhuruma za ndugu na wafanyakazi baadhi walioshiriki kula pesa za mirathi. Maneno maneno yakaanza mtaani, wapo waliosikika wakimsema “ooh amekwisha huyo, alitusumbua sana enzi zake na mumewe, hakujua kuwa mbio za sakafuni uishia ukingoni, tutaona sasa kama maisha hayatomshinda” Pesa hizo kiduchu alizozipata kwenye mirathi ali

SIRI YA MAFANIKIO

JIAMINI, WEWE NI SABABU. Ukiusikiliza wimbo wa HARMONIZE -NEVER GIVE UP kuna sehemu utasikia akisimulia namna alivyoenda kushindana katika mashindano ya kuimba ya BONGO STAR SEARCH (BSS)  na akaambiwa hajui kuimba. inaonekana harmonize mwenyewe alijiamini kwamba anajua Sana kuimba,  lakini waliomsikiliza walaikataa wakidai hajui. LAKINI,  Leo hii HARMONIZE akitoa nyimbo hata wale waliokuwa wakimdharau kuwa hajui,  wanacheza nyimbo zake na wanatamani kuwa Kama harmonize . NDIVYO ILIVYO;  katika haya maisha ni ngumu Sana mtu kuamini kipaji au uwezo wako. Hata Kama wewe mwenyewe unajiamini na unajikubali lakini ukiwaonyesha watu kwamba unauwezo flani, hawatokuamini, watakuambia unapoteza mda,  hufai. HATA kwa wajasiriamali,  mwanzo uwa mgumu Sana,  utakuta kuanzia wajasiriamali wenzio, wateja hata wapita njia WOTE HAWAKUAMINI,  tena wengine wataona hufai kuwa mjasiriamali. KUMBUKA;  ukiruhusu tu kuwapa nafasi katika akili yako UMEKWISHA,  UMEPOTEA,  HUO NDIO UTAKUWA MWISHO WAK

UNAJUA NINII?

BLOG YANGU MPYA: karibuni nyoteee katika blog hii mpya ya LET US SHINE ikiwa na maana acha tung'ae/acha tupendeze n. k. Kwanini let us shine.... NATAKA TUBADILISHANE MAWAZO YA MAFANIKIO.... UMU KUTAKUWA NA..... 1.makala mbalimbali 2.stori Kali,  tamthilia,  riwaya,  chombezo,  hadithi n.k 3.music audio and video 4.na mengine mengi tuuuu ikiwemo ANY BREAKING NEWZ..... ASANTENI NA KARIBUNI KUCHANGIA

CHOMBEZO: HISIA MBAYA sehemu ya 01

Picha
CHOMBEZO:BAD FEELINGS (hisia mbaya) MWANDISHI: FRANK TITUS-MANSHYNE AGE: 18+ sehemu ya 01: Tamaa utumwa na hisia,  hisia nazo uongozwa na vijimawazo flani hivi ambavyo vikiamua kukuendesha basi utaenda tu. Watu wengi wanasema akili ya mtu ipo katika ubongo wake,  labda ni kweli na ndio maana hata mawazo utoka uko uko,  hata matendo yote tuyafanyayo ni kutokana na hisia zetu,  lakini utata upo pale tu hisia zikiwa mbaya.... Ni rahisi Sana hisia zako kutamani kuwa na tabia njema,  lakini ni rahisi Sana hisia zako kukufanya uonekane huna tabia njema. Na siku zote majaribu umkuta Yule hasiyeyataka.  Kosa moja goli moja, unatumia kiungo chako mwenyewe kutamani kiungo cha mwenzio,  unatamani kutulia lakini hisia sasa, hisia zako hazitaki. ILIKUWA Ni katika shule ya mchanganyiko wasichana na wavulana kwa wanafunzi wa kidato cha tano na sita, (KIORORO HIGH SCHOOL). Licha ya shule hiyo kufahamika Sana kitendo kilichopelekea wazazi wengi kupeleka watoto wao,  na wanafunzi wenyewe kuic

TAMTHILIA: MOON OF MY LIFE (MML) sehemu ya kwanza

TAMTHILIA: MOON OF MY LIFE (MML) Mtunzi/mwandishi: manshye *************************************** Episode 01 Ni baada ya kumaliza chuo, kijana aliekuwa mtu pendwa chuoni kutokana na utanashati wake, akili yake ya darasani na kujitambua kimaisha, upendo na ushirikiano wake kwa vijana wenzie wa jinsia zote, upole, ukarimu na uchangamfu wake kutokana na mazingira zilikuwa sababu tosha za mtu huyo kupendwa. Licha ya sababu nyingi, walizoea kumuita handsome boy kutokana na sura yake na staili ya nywele zake kufanana na mcheza mpira wa miguu maarufu kwa jina la neymar jr pamoja na muigizaji maarufu wa bongo movie aitwaye rammy galis, hata yeye mwenyewe aliwapenda sana hao watu. Lakini pia alishawai kuitwa fonsi, hii ni kutokana pia na stahili na mbwembwe zake kufanana na muimba muziki wa nchini pueto rico, luis fonsi, aliyetamba na wimbo wa despacito, Kijana huyo sio mwingine bali ni kaxoghur santos jr. Sifa zake hazikuishia chuoni, hata mara baada ya kurudi kwao dar es salaam, vijana